[wanabidii] Ndege ya Jeshi iliyokuwa mazoezini yapata ajali, yaua mwanajeshi mmoja, yajeruhi - Mwanzo

Wednesday, October 24, 2012

MWANAJESHI mmoja amekufa na mwingine kujeruhiwa baada ndege ya mafunzo waliyokuwa wakiendesha kushindwa kupaa kwa kujipiga bawa kwenye hanga Uwanja wa Ndege wa Jeshi, Airwing, Ukonga, Dar es Salaam leo.

Akielezea juu ya ajali hiyo, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Kanali Kapambala Mgawe, alitaja jina la aliyepoteza maisha kuwa ni Kapteni Mangushi na aliyejeruhiwa kuwa ni Kampeni Kilikila.


http://wotepamoja.com/archives/9591#.UIdszlHm8U0.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments