[wanabidii] Kauli ya UAMSHO dhidi ya film

Thursday, September 20, 2012
Kauli ya UAMSHO dhidi ya film

Ndugu wa Kiislaam,
Inasikitisha sana kuona kuwa kuna baadhi ya Waislaam ambao ni watu wepesi kiasi cha kuweza kuchokozwa na wajinga wasio na 
thamani wakajiingiza katika mitego na vitendo vyao vikawashirikisha pia Waislam wasiokubaliana na vitendo vyao viovu. 
Daima Mwislamu anatakiwa awe katika haki; asimuasi Mwenyezi Mungu ili kuepukana na ghadhabu zake Allah (S.W.).

Uislaam ni dini ilokamilika kwa kumdhaminia mwanaadamu ufumbuzi na miongozo ya mambo yote katika maisha yake ya Dunia na 
ndio maana Allah (S.W.) kakitukuza Kitabu chake kwa kusema:



Share this :

Related Posts

0 Comments