[wanabidii] METTE-MARIT AITAKA JAMII KUWA NA MTAZAMO TOFAUTI KWA WATU WANAOISHI NA UKIMWI

Wednesday, April 13, 2016
Habari za asubuhi,

Tafadhali pokea CODES hapa chini 


<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-12366 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0016.jpg" alt="DSC_0016" width="630" height="419" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Balozi wa Kimataifa wa UNAIDS, Mette-Marit akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kazi anazofanya kama balozi wa UNAIDS kwa kipindi cha miaka 10 tangu aanze kazi hiyo. (Picha na Rabi Hume wa <span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://www.modewjiblog.com" target="_blank">Modewjiblog</a></span>)</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Katika kuhakikisha watu wanaoishi na UKIMWI wanaishi kwa furaha bila kunyanyapaliwa na watu wanaowazunguka, jamii imetakiwa kuwa na mtazamo tofauti kwa watu wanaoishi na ugonjwa huo.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Hayo yalisemwa na mke wa mtoto wa mfalme wa Norway, Mette-Marit ambaye pia ni balozi kimataifa wa Shirika la Umoja la kupambana na HIV na UKIMWI (UNAIDS) wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kazi anazozifanya kwa UNAIDS kama balozi ambaye anazunguka maeneo mbalimbali duniani ili kuelimisha jamii kuhusu UKIMWI.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Mette-Marrit alisema kuwa watu wenye UKIMWI ni kama watu wengine hivyo wana haki ya kupata huduma bila kunyanyapaliwa ili waweze kuishi kwa uhuru kama watu wengine na ili kufanikisha hilo ni wajibu wa kila mtu kuwasaidia waathirika.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">"Watu kuwa na UKIMWI sio mwisho wa maisha inatakiwa kwanza jami kuwa na mtazamo tofauti na inatakiwa kila mtu kusaidia mapambano ya UKIMWI sio jambo la mtu mmoja mmoja," alisema Mette-Marit.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-12368 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0021-1.jpg" alt="DSC_0021" width="633" height="421" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS), Dkt. Fatma Mrisho akizungumzia kuhusu juhudi zinazofanywa na serikali katika mapambano ya UKIMWI.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Nae Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS), Dkt. Fatma Mrisho alisema Serikali imekuwa ikifanya jitihada mbalimbali ili kupambana na UKIMWI lakini pia ili kufanikisha mapambano hayo wanahitaji kushirikiana na taasisi ambazo zitawasaidia katika mapambano hayo.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Lakini pia Dkt. Mrisho amezitaka serikali za mitaa kuacha kusubiri mpaka serikali imepeleke pesa ndiyo wawasaidie watu wanaoishi na UKIMWI na hivyo waweke utaratibu wa kutumia sehemu ya mapato yao ili kusaidia mapambano hayo.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">"Serikali haijalala katika mapambano tunahitaji kushirikiana na taasisi ambazo zinatusaidia kupunguza maambukizi mapya na tunaona Mette-Marit amekuwa akifanya jambo zuri anazunguka sehemu nyingi ili kusaidia kupunguza maamukizi mapya ya UKIMWI," alisema Dkt. Mrisho.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-12365 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0009.jpg" alt="DSC_0009" width="632" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong><em>Mkurugenzi</em> mkazi <em>wa</em> Shirika la Umoja <em>wa</em> Mataifa <i>la </i>kupambana na Ukimwi, <em>UNAIDS</em> nchini <em>Tanzania</em>, <em>Warren Naamara akizungumzia ugonjwa wa UKIMWI.</em></strong></span></p>
<iframe src="https://www.youtube.com/embed/pFnZj-j6zZM" width="560" height="315" frameborder="0" allowfullscreen="allowfullscreen"></iframe>


KAWAIDA

DSC_0016

Balozi wa Kimataifa wa UNAIDS, Mette-Marit akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kazi anazofanya kama balozi wa UNAIDS kwa kipindi cha miaka 10 tangu aanze kazi hiyo. (Picha na Rabi Hume wa Modewjiblog)

Katika kuhakikisha watu wanaoishi na UKIMWI wanaishi kwa furaha bila kunyanyapaliwa na watu wanaowazunguka, jamii imetakiwa kuwa na mtazamo tofauti kwa watu wanaoishi na ugonjwa huo.

Hayo yalisemwa na mke wa mtoto wa mfalme wa Norway, Mette-Marit ambaye pia ni balozi kimataifa wa Shirika la Umoja la kupambana na HIV na UKIMWI (UNAIDS) wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kazi anazozifanya kwa UNAIDS kama balozi ambaye anazunguka maeneo mbalimbali duniani ili kuelimisha jamii kuhusu UKIMWI.

Mette-Marrit alisema kuwa watu wenye UKIMWI ni kama watu wengine hivyo wana haki ya kupata huduma bila kunyanyapaliwa ili waweze kuishi kwa uhuru kama watu wengine na ili kufanikisha hilo ni wajibu wa kila mtu kuwasaidia waathirika.

"Watu kuwa na UKIMWI sio mwisho wa maisha inatakiwa kwanza jami kuwa na mtazamo tofauti na inatakiwa kila mtu kusaidia mapambano ya UKIMWI sio jambo la mtu mmoja mmoja," alisema Mette-Marit.

DSC_0021

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS), Dkt. Fatma Mrisho akizungumzia kuhusu juhudi zinazofanywa na serikali katika mapambano ya UKIMWI.

Nae Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS), Dkt. Fatma Mrisho alisema Serikali imekuwa ikifanya jitihada mbalimbali ili kupambana na UKIMWI lakini pia ili kufanikisha mapambano hayo wanahitaji kushirikiana na taasisi ambazo zitawasaidia katika mapambano hayo.

Lakini pia Dkt. Mrisho amezitaka serikali za mitaa kuacha kusubiri mpaka serikali imepeleke pesa ndiyo wawasaidie watu wanaoishi na UKIMWI na hivyo waweke utaratibu wa kutumia sehemu ya mapato yao ili kusaidia mapambano hayo.

"Serikali haijalala katika mapambano tunahitaji kushirikiana na taasisi ambazo zinatusaidia kupunguza maambukizi mapya na tunaona Mette-Marit amekuwa akifanya jambo zuri anazunguka sehemu nyingi ili kusaidia kupunguza maamukizi mapya ya UKIMWI," alisema Dkt. Mrisho.

DSC_0009

Mkurugenzi mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kupambana na Ukimwi, UNAIDS nchini TanzaniaWarren Naamara akizungumzia ugonjwa wa UKIMWI.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments