[wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?

Thursday, March 24, 2016
Mara baada ya uchaguzi mkuu October 2015 na yaliyotokea Marekani ilisita kuruhusu msaada kwa serikali ya Tanzania. Sababu mbili ilizozitaja ni 1) Kufutwa kwa Uchaguzi wa Zanzibar na 2) Kutaka kujua kama kweli sheria ya mtandao ina haki ya kutumika kuwadhibiti waliokuwa wanatumia mtandao kuvuruga uchaguzi ambao baadhi walikuwa mikononi mwa dola.

Majuzi baada ya uchaguzi Zanzibar Marekani ililalamika kwa uchaguzi kufanyika bila waliogoma kushirikishwa.

Marekani inajiona inakosa nini Tanzania kuwa salama na chini ya viongozi waliodhibitishwa na tume za uchaguzi kuwa ndio waliochaguliwa?
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments