[wanabidii] MAHAFALI YA DARASA LA SABA ST. FLORENCE ACADEMY

Monday, September 07, 2015
Wakuu habari za leo. Naomba msaada wenu wa kumbeba kijana wetu Denzel Deogratius Rweyunga ambaye jana alianza kwa kupata ( ka nondo ) kake ka kwanza ka kumaliza darasa la saba. Ahsanteni sana.

Mwanafunzi Denzel Deogratius Rweyunga akipokea cheti chake kutoka kwa mgeni rasmi, Dr Selina Mathias wakati wa mahafali ya kumaliza darasa la saba yaliyofanyika jana St. Florence Academy Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Denzel Deogratius Rweyunga akiondoka jukwaa kuu kwa furaha baada ya kutunukiwa cheti cha kuhitimu darasa la saba na mgeni rasmi, Dr Selina Mathias ( katikati ). Kulia mwenye miwani ni mmiliki wa shule hiyo, mama Asey na mwenye suti ni mwalimu mkuu, Wilson Kakanga.

Picha ya pamoja wa wahitimu wa darasa la saba katika shule ya St.Florence Academy



Mmoja wa wanafunzi wa St Florence Academy akijiandaa kupokea cheti chake kutoka kwa mgeni rasmi, Dr Selina Mathias wakati wa mahafali ya wanafunzi wa darasa la saba katika shule ya St.Florence Academy, Mikocheni jijini Dar es Salaam jana.

Denzel ( mwenye joho ) akiwa katika picha ya pamoja na wazazi wake pamoja na wadogo zake, Doreen na Delbert

                                                                Denzel akimlisha keki mdogo wake, Delbert

                                                         Denzel akimlisha keki mdogo wake, Doreen

                                                                           Denzel akiwa amebeba keki yake

                                                              Doreen akimlisha keki kaka yake Denzel

Wanafunzi walohitimu darasa la saba katika shule ya St. Florence wakipita mbele ya mgeni rasmi kuchukua vyeti vyao.

                                                                              Wakati wa kuonyesha vipaji vyao

                                                 Hadi ngoma toka Pemba ilichezwa na wanafunzi hao


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments