Ndugu Zangu
Kwa utafiti niliofanya kwa siku tatu hapa Dar, Morogoro, na Ifakara watanzania wengi wanahitaji ilani za uchaguzi za hivi vikundi viwili kwa hamu sana. Ninaamini kama vinapatikana vikiwekwa pale Posta na sehemu nyingine kama mnazi mmoja na kariakoo na popote Tanzania zitanunuliwa sana.
Ni fursa kwa wafanyabiashara wa vitabu na magazeti kuchangamkia.
Wazo la leo
Herment A. Mrema
Kwa utafiti niliofanya kwa siku tatu hapa Dar, Morogoro, na Ifakara watanzania wengi wanahitaji ilani za uchaguzi za hivi vikundi viwili kwa hamu sana. Ninaamini kama vinapatikana vikiwekwa pale Posta na sehemu nyingine kama mnazi mmoja na kariakoo na popote Tanzania zitanunuliwa sana.
Ni fursa kwa wafanyabiashara wa vitabu na magazeti kuchangamkia.
Wazo la leo
Herment A. Mrema
0 Comments