[wanabidii] Eid njema kwa wote !

Friday, July 17, 2015

Ndugu , Jamaa na Marafiki

 

Nachukua nafasi hii kuwatakia waislamu na Watanzania  wote nchini siku kuu njema ya Iddi .

 

Tutumie kipindi hiki kuliombea Taifa letu ili uchaguzi mkuu ujao ufanyike kwa amani na upendo na kudumisha Umoja na mshikamano wa Kitaifa.

 

Tuendelee kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuongeza tija katika maeneo yetu ya kazi

 

Kila la heri katika kazi za kila siku za ujenzi wa Taifa ,

 

Nawatakia kazi njema wote na Mungu awabariki.

 

Wasaalaam !

 

Phares Magesa ,

B.Sc,PGD,MBA, IEng.,MIET, MIEEE
--------------------------------------

 

Dar Es Salaam Port,

Tanzania Ports Authority

P.O.Box 1130

Dar Es Salaam

Tanzania

Office Tel: +255 22 2116257

Cell: +255 (0784/0713/0767) 618320

Ext: 1003242

Url: www.tanzaniaports.com

E-mail: magesa@tanzaniaports.com

 

Share this :

Related Posts

0 Comments