[wanabidii] Ushauri wa biashara, semina za ujasiriamali na kuandaa michanganuo

Tuesday, February 17, 2015


CPM Business Consultants, ni Kampuni inayojihusisha na kutoa ushauri wa biahshara kwa Wafanyabiashara wadogo wa kati na wakubwa. Pia inatoa ushauri kwa wa uendeshaji wa Mashirika yasiyo ya kiserikali NGO. Kampuni hii ilisajiliwa mwezi mei mwaka 2012 na kuanza kazi mwezi Desemba 2013.
CPM Business Consultants inao wataalamu washauri wenye fani za Biashara, uchumi, uongozi na maswala ya fedha.Wataalamu wasomi wanye ngazi ya shahada na shahada za uzamili. Pia wataalamu hao wana uzoefu usiopungua miaka 25 katika utendaji kwenye fani zao. Makao makuu ya CPM Business Consultants ni Kimara Baruti.

MALENGO YA KAMPUNI
Malengo yetu ni kutoa huduma bora za ushauri kwa Wafanyabiashara wadogo wa kati na wakubwa,kwa SACCOS na Asasi zisizo za kiserikali NGO ili ziweze kuendesha shughuli zao kwa ufanisi.

DIRA YA KAMPUNI
Tunaamini kwamba matatizo yanayozuia maendeleo ya Wajasiriamali Tanzania ni pamoja na ukosefu wa mitaji na elimu ya biashara,hivyo lengo lake ni kuhakikisha anatoa elimu ya biashara na uendeshaji ili biashara na asasi ziweze kuendeshwa kwa ufanisi.
HUDUMA ZETU
1.Kutoa ushauri wa Wafanyabiashara wadogo wa kati na wakubwa,
2.Kuandaa michanganuuo kwa ajili ya kuomba mikopo benki na misaada kutoka kwa wafadhili.
3.Kutoa mafunzo ya Ujasiriamali kwa wafanyabiashara.
4.Kuandaa mifumo ya utunzaji wa mahesabu na kuweka mifumo ya Kompyuta kwenye utunzaji wa hesabu.
5.Kuandaa katiba za vyama na nyaraka za uandikishaji wa makampuni.
6.Kuandaa nyaraka za Tenda.
7.Kutoa ushauri kwa SACCOS ili ziendeshwe kwa ufanisi.
8.Kutoa ushauri kwa Asasi zisizo za kiserikali NGO ili ziweze kuendesha shughuli zao kwa ufanisi.
9.Kutunga vitabu za biashara ili kuwafikia wafanyabiashara wengi zaidi.
10.Kutoa ushauri nasaha na semina kwa wanafunzi na vijana.
11. Kutoa mafunzo ya usindikaji na utengenezaji wa bidhaa za viwanda na kilimo kama vile, sabuni,shampoo, kilimo cha uyoga na bustani inayotembea.
12. Kufanya uchunguzi wa ubadhirifu na mapungufu katika uendeshaji wa biashara na kutoa ufumbuzi.
13. Kuendesha mafunzo ya namna ya kujiandaa kustaafu.

MIPANGO YAKE YA BAADAYE
Kuimarisha biashara yetu ili iweze kuenea mikoa yote ya Tanzania.
Kwa mawasiliano piga simu namba 0784394701 au 255755394701

https://cpmbusinessconsult.wordpress.com/

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments