[wanabidii] Nini/Nani aliiunguza BOT MWAKA 1984 ?

Saturday, November 15, 2014
Chanzo cha uhakika kinasema mwekezaji mmoja Mtanzania alikopa fedha siku moja kabla ya BOT kuungua. Kama asingekopa siku hiyo kesho yake asingepata mkopo maana hali ilikuwa tete kwa kuwa BOT ilikuwa inasimamia michakato yote mikubwa ya kifedha nchini i.e. ikiwemo ya kuhamisha pesa!

Ni nini ama nani hasa aliunguza/aliichoma BOT? Kwa nini iungue katika kipindi kigumu sana cha kiuchumi/kifedha nchini i.e. mara baada ya kupitishwa kwa sheria ya uhujumu uchumi?

"Unfortunately, the Bank of Tanzania Headquarters building was destroyed by the fire of 1984, leaving only the empty brickwork and concrete structure. The meticulous, local hard woodwork inside partititioning, including the exquisite Mninga and Mvule furniture and Elimo Njau's Mural, and all the records and documents were engulfed in that inferno. A Golden Sword hanging in the Governor's Office, presented to me on the occassion of the official opening of the building by Jonathan Frimpong Ansah, Governor of the Bank of Bank of Ghana, and a life-size portrait of President Nyerere I had commissioned the artist Raithatha to prepare, were also reduced to ashes" - Edwin Mtei, the first Governor of BOT, 'From Goatherd to Governor: The Autobiography of Edwin Mtei' page 104.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments