Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imeikabidhi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) majina 10 ya taasisi na halmashauri ambazo zimeonekana kuwa na viashiria vya rushwa katika matumizi ya fedha za Serikali mwaka 2013/14.
Bodi hiyo pia imezifungia kampuni 23 kushiriki zabuni za Serikali, huku ikiagiza menejimenti ya PPRA kufanya uhakiki kwa taasisi 19 ambazo katika ukaguzi, zimeonyesha kufanya ununuzi unaotia shaka wa Sh1.7 bilioni.
Mwenyekiti wa Bodi ya PPRA, Balozi Marten Lumbanga alisema jana kuwa taasisi zilizoonekana kuwa na viashiria vya rushwa katika ununuzi ni:-
Mkurugenzi Mtendaji wa PPRA, Dk Laurent Shirima alisema kuwa tatizo kubwa katika ununuzi wa umma ni watendaji kutokuwa makini au kutofanya kazi zao kwa uaminifu. Alisema PPRA imekusudia kuwaita wakuu wa taasisi zilizofanya vibaya ili kujua tatizo.
-- Bodi hiyo pia imezifungia kampuni 23 kushiriki zabuni za Serikali, huku ikiagiza menejimenti ya PPRA kufanya uhakiki kwa taasisi 19 ambazo katika ukaguzi, zimeonyesha kufanya ununuzi unaotia shaka wa Sh1.7 bilioni.
Mwenyekiti wa Bodi ya PPRA, Balozi Marten Lumbanga alisema jana kuwa taasisi zilizoonekana kuwa na viashiria vya rushwa katika ununuzi ni:-
- Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere
- Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam
- Halmashauri ya Jiji la Mwanza
- Halmashauri ya Kondoa
- Halmashauri ya Monduli
- Halmashauri ya Kilwa
- Halmashauri ya Maswa
- Halmashauri za wilaya ya Kigoma
- Halmashauri ya Kibondo
- Halmashauri ya Tarime
- Halmashauri ya Musoma
- Halmashauri ya Ukerewe
- Halmashauri ya Maswa
- Halmashauri ya Kishapu
- Halmashauri ya Kilindi
- Halmashauri ya Lushoto
- Halmashauri ya Mkinga
- Halmashauri ya Bunda
- Halmashauri ya Butiama
- Halmashauri ya Rorya
- Halmashauri ya Kondoa
- Halmashauri ya Songea
- Halmashauri ya Singida
- Halmashauri ya Mwanza
- Halmashauri ya Iramba
- Mamlaka ya Maji na Mazingira Lindi
- Manispaa ya Kinondoni
- Manispaa ya Musoma
- Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Lindi
- Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii
Mkurugenzi Mtendaji wa PPRA, Dk Laurent Shirima alisema kuwa tatizo kubwa katika ununuzi wa umma ni watendaji kutokuwa makini au kutofanya kazi zao kwa uaminifu. Alisema PPRA imekusudia kuwaita wakuu wa taasisi zilizofanya vibaya ili kujua tatizo.
- Mwananchi: Taasisi 10 kitanzini, zakabidhiwa TAKUKURU
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments