TAREHE: 09/08/2014
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
YAH: KUOMBA RADHI KWA KUFIKA MAENEO YA BUNGE
Jana kunabaadhi ya vyombo vya habari viliandika kuhusu mimi kufika maeneo ya bunge la katiba Dodoma mnamo Jumanne tarehe 05/08/2014.
Ni kweli nilifika kwa na kujisajili bungeni Dodoma kwenye bunge la katiba.Kuhudhuria kwangu kulitokana na kutokuwa na taarifa za kutosha kutoka kwa viongozi wangu wa chama. Binafsililikwenda Dodoma ili kusubiri maelekezo ya viongozi wangu wakuu.
Baada ya kuwasiliana na viongozi wangu wa Bunge wa Chama ndipo waliponitaarifu kuwa wabunge wa CUF hawatahudhuria kama jinsi ilivyokubaliwa kwenye Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA.Hivyo siku hiyohiyo nilindoka Dodoma na kurejea Dar es Saam na hivi sasa niko jimboni Masasi .Naomba radhi kwa wananchi wote ikiwa kujisajili kwangu bungeni bila kuwa na taarifa za kutosha kumeleta usumbufu kwa chama, familia yangu, UKAWA na wananchi.
Clara Mwatuka
0719568101
Mbunge wa Viti Maalum CUF-Mjumbe wa Bunge la Katiba
kutoka A bridge summary of wanabidii forum--
mission without implementation is hallucination
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la ‘Mabadiliko’.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CABs-M3Z%2BiPwqZJvbNiHQ5hw-tPBrCDn%2BPf%2BYMM7%2B_P%3DC%3DCa9VA%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments