Karibuni tena katika kipindi chenu mkipendacho cha MARIDHIANO kitakachorushwa RADIO MARIA kuanzia saa tatu kamili usiku. Mjadala wa leo ni WAZAZI WAVURUGA NDOA YA KIJANA WAO, WAPORA HATI ZA NYUMBA NA MKE ATISHIWA KUUAWA BAADA YA KUHOJI UBABE WA WAKWE. Waweza kusikiliza kupitia mtandao wa www.radiomaria.co..tz au www.radiomaria.org
Related Posts
- [wanabidii] News Digest: China industrial output up 6% on year in April: govt
- [Mabadiliko] Burudika Na Tafakari Na Katuni Bora Za Leo Zilizoletwa Kwako Na Mtandao Wa Mjengwablog..
- [wanabidii] Mjengwablog Imekuchagulia Habari 30 Muhimu Kutoka Kurasa Za Ndani Magazeti Ya Leo Jumamosi..
- [wanabidii] WAINGEREZA NA WAMAREKANI KUVUTIWA NA UTENDANI WA MAGUFULI: LAZIMA KWENDA NAO KWA TAHADHARI.
- [wanabidii] 8 big announcements Google may make next week
- [wanabidii] Top Headlines: India, Bangladesh power ties with 21st-century nuclear deal
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments