Karibuni tena katika kipindi chenu mkipendacho cha MARIDHIANO kitakachorushwa RADIO MARIA kuanzia saa tatu kamili usiku. Mjadala wa leo ni WAZAZI WAVURUGA NDOA YA KIJANA WAO, WAPORA HATI ZA NYUMBA NA MKE ATISHIWA KUUAWA BAADA YA KUHOJI UBABE WA WAKWE. Waweza kusikiliza kupitia mtandao wa www.radiomaria.co..tz au www.radiomaria.org
Related Posts
- [wanabidii] News Digest: Sensex rebounds 184 points on Asian cues
- [wanabidii] Press Release: Call for entry announced for the International Elephant Film Festival
- [wanabidii] Zoezi la Yoga na Mfumo wa " Endocrine Glands"
- [wanabidii] New content updates
- [Mabadiliko] Uchambuzi Wa Habari: UKAWA Wametishia ' Chui' Mara Nyingi...!
- [wanabidii] United Kingdom Parliament Daily Digest Bulletin
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments