Mkoa wa Kilimanjaro umekuwa kinara wa kuboresha elimu ya msingi kwa kupata wastani wa asilimia 82 sawa na daraja A wakati mikoa ya singida na kigoma wakifanya vibaya.Kilim kwa kufelisha zaidi ya asilimia 44 kwa mkoa wa singida na asilimia 66 kwa mkoa wa kigoma.Kilimanjaro inafanya vizuri katika mazingira yote ya kielimu ,mbali na ufaulu hali ya miundo mbinu pia ni nzuri na mkoa umevuka viwango karibu vyote saba vya mazingira ya kufundishia na kujifunza.
Chanzo : Uchambuzi wa Sera Haki elimu
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 Comments