Wakaazi wa Singida waliochomewa nyumba zao kwa amri ya mkuu wa wilaya, kutekeleza operesheni tokomeza ujangili. Hii ni mojawapo ya zawadi tunayopokea wananchi wa Singida kwa kuchagua serikali ya CCM kwa kura nyingi, kuchomewa makazi tuliyokaa vizazi na vizazi hadi mama huyu anayeonekana kuwa na umri wa miaka zaidi ya 80 anavyoonekana.
Related Posts
- [wanabidii] Social Media, Internet and Corruption
- [wanabidii] Anti-Pornography Bill of Uganda
- [wanabidii] Philips' Fabric of Africa report highlights innovation in tackling Non-Communicable Diseases (NCDs)
- [wanabidii] Hon. John Mnyika's witness statement regarding The Election of Tanzania's East African Legislative Assembly
- [wanabidii] US hands in South Sudan's civil war
- [wanabidii] South African Futures 2030 - How Bafana Bafana Made Mandela Magic
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments