Wakaazi wa Singida waliochomewa nyumba zao kwa amri ya mkuu wa wilaya, kutekeleza operesheni tokomeza ujangili. Hii ni mojawapo ya zawadi tunayopokea wananchi wa Singida kwa kuchagua serikali ya CCM kwa kura nyingi, kuchomewa makazi tuliyokaa vizazi na vizazi hadi mama huyu anayeonekana kuwa na umri wa miaka zaidi ya 80 anavyoonekana.
Related Posts
- [wanabidii] Hakika Chadema ya sasa siyo ile
- [wanabidii] Samsung Galaxy S7 vs Galaxy S6: 10 new features
- [wanabidii] BLACK AMERICANS FOR A BETTER FUTURE PRESENTS EVIDENCE THAT BLACKS ARE OPEN TO THE REPUBLICAN PARTY
- [wanabidii] New content updates
- [wanabidii] Top Headlines: 13 banks move SC to stop Vijay Mallya, but he's already left India
- [wanabidii] New content updates
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments