Waungwana;
Nina mwanangu ambaye alichelewa kupata “statement of results Form IV 2012” hivyo akachelewa kutuma maombi ya “certificate courses”
Katika vyuo mbalimbali.
Ana ‘C’ ya English, ‘F’ ya Maths na ‘D’ for the rest.
Ye yote mwenye fununu ya vyuo ambavyo bado vinapokea maombi, tafadhali nijulishe.
Rgds
------------------------------
Marcus Falinzungu
Mob: +255 754 929460
+255 655 929460
-----------------------------
.
0 Comments