[wanabidii] CUF:Tutavunja Serikali Zanzibar ?

Wednesday, September 04, 2013
Wandugu,
Nikiwa pembeni ya mkutanowa Bunge unaoendelea hapa Dodomanimeshuhudia mijadalamingiya ndaniya vyamanawadaumbalimbali kujadiliMuswadawa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, na kuwa imepelekea kama mlivyoona TBCCM1 wabunge wa CUF na CHADEMA na NCCR kususia kikaocha Bunge.
Katika hatua nyengine, wabunge kadhaa wamekuwa wakiapiza kuivunja  kujitoa kwenye muungano au ushirikiano na CCM huko Zenji. Hali ni mbaya hapa na hakuna kinachoelezeka moja kwa moja.
Marc6

Share this :

Related Posts

0 Comments