[wanabidii] SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA LAHAMISHA VIGOGO WA POLISI

Wednesday, August 28, 2013
Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Viwanja vya Ndege Tanzania Deusdetiti Kato amehamishwa na kupelekwa Makao Makuu ya Polisi - DSM. Aidha aliyekuwa Mkuu wake wa Upelelezi David Mwafwimbo amehamishiwa mkoani Lindi kuwa OCD. Katika hamisha hamisha hii, aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Mtwara Linus Sinzumwa amehamishiwa Makao Makuu ya Polisi na nafasi yake kuchukuliwa na Zelothe Stephen ambaye yuko katika ajira ya mkataba baada ya kustaafu kwa umri wa lazima mapema mwaka huu.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments