[Mabadiliko] Simulizi Za Mzee Madiba; Mandela ' Alipochacha Mfukoni' Akiwa Safarini...!

Thursday, July 25, 2013


Na Maggid Mjengwa,

Kwa furaha tena naendelea na simulizi hizi za Mzee wetu Madiba. Na hapa kuna bashraf ya tulikoishia jana...

"Mandela akajikuta amesimama miongoni mwa waheshimiwa na kukaribishwa chai. Na ghafla kukawa na foleni ya waheshimiwa wabunge mbele yake Mandela. Naye Mandela akashangazwa sana kuona wabunge wale wamejipanga mstari, na mmoja baada ya mwingine anakwenda mbele yake kumshika mkono na kumsalimu kwa heshima kubwa.

Wakati tukio hilo likiendelea kumshangaza Mandela, basi, ilipofika zamu ya Mbunge wa tatu kwenye mstari kumsalimu Mandela akasikia sauti ikimtamkia kutoka kwa Mbunge huyo;

" It is a great honour to shake the hand of the revered Chief Luthuli, winner of the Nobel Peace Prize." ( Nelson Mandela, Long Walk To Freedom, pg. 357.)

Kwamba mbunge huyo alitamka kuwa ilikuwa heshima kubwa kwake kushikana mikono na Chifu Luthuli, mshindi wa tuzo ya Amani ya Nobeli. Ndipo hapo Mandela akafahamu, kuwa Karani yule wa Bunge alichanganya mambo! .. Endelea..

Mwaka bado ni 1962, Mandela akafika mpaka nchi ya Liberia, huko akakutana na...http://www.mjengwablog.com/siasa/item/4175-simulizi-za-mzee-madiba-mandela-alipochacha-mfukoni-akiwa-safarini.html#.UfC7x22CDTo

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments