[Mabadiliko] Tumetoka Mbali; Morocco Butchery Kinondoni Biafra, 1987!

Sunday, June 23, 2013
Picha hii http://www.mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/3437-tumetoka-mbali-morocco-butchery-kinondoni-biafra-1987.html#.UcaRLZyNCAg niliipiga mwaka 1987. Nyumba yetu ni ya tatu kwenda kulia yenye michongoma.

Picha hii nayo ni kumbukumbu nzuri ya tulikotoka. Nakumbuka enzi hizo tulihesabu bucha za nyama. Na siku za Sikukuu tulipanga foleni ya nyama!

Kinondoni mwaka 1978 kulikuwa na bucha kama tatu hivi, ukiacha Morocco Butchery, kulikuwa na ile ya Mtaa Ufipa na ile iliyokuwa chini ya Farmers Bar, Kinondoni 'A'. Haya basi, mliokulia Kinondoni Biafra mna kumbukumbu zaidi za wakati huo?

Naam, tumetoka mbali.
Maggid,
Iringa.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments