[Mabadiliko] Hofu Ya Ugaidi ( 05)

Wednesday, May 15, 2013

Kama nilivyoahidi kuendelea na mjadala huu leo Jumatano, basi,  kwa siku ya leo na tuliangazie kwa karibu  shambulio pekee kubwa la kigaidi kupata kufanywa   hapa duniani. Ni shambulizi lilofanywa na kikundi cha  Al-qaida. Na ni shambulizi lao kubwa la kigaidi  tangu kuanzishwa kwa kikundi hicho cha kigaidi.

Naam, tunazungumzia  shambulizi la kigaidi la Septemba 11,2001   dhidi ya Marekani katika ardhi  ya Marekani.  Na baada ya kuliona hilo, tutaangalia pia kihistoria,  vitendo vya kigaidi vilivyofanywa na Wamarekani ndani ya Marekani yenyewe.
     

Itakumbukwa, kuwa siku ya Jumanne ya Septemba 11,  2001, dakika chache.. Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/2725-hofu-ya-ugaidi-05.html

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments