[Mabadiliko] Hata Iweje Rais dikteta hakwepeki 2015

Sunday, May 19, 2013

Na Nova Kambota,

....................Mwandishi anamtaja Julius Nyerere kuwa ni dikteta ambaye amefanana na
Mkapa kwa upande wa usoni, amerandana na Mwinyi kwa nyuma huku akisema
kuwa amefanana na Kikwete kwa upande wa ubavuni! Haya ni madai ya
kitoto yasiyo na mantiki yoyote, kwa kifupi mwandishi anataka
kumfananisha Nyerere na Mwinyi, Mkapa na Kikwete, mbaya zaidi anataka
kutuaminisha kuwa mpaka leo hii Tanzania bado inaendeshwa kwa mitazamo
ya Nyerere, huu ni upotoshaji mkubwa, hivi nani hajui kuwa mawazo ya
Nyerere yametupwa zamani? Hivi wapi Nyerere alishabikia ubinafsishaji?
Hivi udini ulikuwepo kipindi cha Nyerere? Mimi nadhani mwandishi
hamtendei haki komredi Nyerere kwa kumfananisha na warithi wake ambao
nathubutu kusema wametofautiana kwa mbali kabisa na mwamba huyo licha
ya kwamba walitawala nchi moja na kukaa Ikulu ileile ya Magogoni.............fatilia zaidi uchambuzi huu wa kusisimua ulioandikwa na Nova Kambota bofya; www.novakambota.wordpress.com

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments