YAH: TUHUMA DHIDI YA SIFA ZA MAJAJI, TARATIBU
MAMLAKA YA MAPENDEKEZO NA UTEUZI
MAMLAKA YA MAPENDEKEZO NA UTEUZI
1.0. Utangulizi
Hivi karibuni zimetolew atuhuma kupitia Vyombo vya Habari mbalimbali hapa nchini dhidi ya SIFA za Majaji, TARATIBU, MAMLAKA ya Mapendekezo na Uteuzi wa Majaji unaofanywa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Miongoni mwa tuhuma hizo ni kwamba baadhi ya Majaji hawana SIFA stahili za kuwa Jaji na wngine kuwa hawakuteuliwa Majaji kwa mujibu wa Katiba ya Sheria husika.
1.1 Sifa za kuwa Jaji
Sifa za kuwa Jaji wa Mahakama Kuu zimetajwa na Ibara ya 109(7) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Sifa hizo ni kuwa na Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu kinachotambulika na Tume ya Vyuo Vikuu, na pia awe:
a) Amekuwa Hakimu; au
b) Amekuwa Mtumishi katika taasisi ya umma; au
c) Amekuwa Wakili kwa muda usiopungua miaka kumi.
Aidha, Ibara ya 118(3) ya Katiba inataja sifa za Jaji wa Mahakama ya Rufani.
Hivi karibuni zimetolew atuhuma kupitia Vyombo vya Habari mbalimbali hapa nchini dhidi ya SIFA za Majaji, TARATIBU, MAMLAKA ya Mapendekezo na Uteuzi wa Majaji unaofanywa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Miongoni mwa tuhuma hizo ni kwamba baadhi ya Majaji hawana SIFA stahili za kuwa Jaji na wngine kuwa hawakuteuliwa Majaji kwa mujibu wa Katiba ya Sheria husika.
1.1 Sifa za kuwa Jaji
Sifa za kuwa Jaji wa Mahakama Kuu zimetajwa na Ibara ya 109(7) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Sifa hizo ni kuwa na Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu kinachotambulika na Tume ya Vyuo Vikuu, na pia awe:
a) Amekuwa Hakimu; au
b) Amekuwa Mtumishi katika taasisi ya umma; au
c) Amekuwa Wakili kwa muda usiopungua miaka kumi.
Aidha, Ibara ya 118(3) ya Katiba inataja sifa za Jaji wa Mahakama ya Rufani.


Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 Comments