[wanabidii] Picha & Habari:: Mhariri wa gazeti la Business Times apigwa risasi - Mwanzo

Friday, November 02, 2012
UPDATE:

Kwa niaba ya Kampuni ya Business Times Limited, napenda kuwataarifu kwamba kikao cha kujadili hali na mwenendo mzima wa Mhariri mwenzetu Mnaku Mbani ndio kimekwisha na kuahidi kutoa taarifa maalumu kwa vyombo vya habari ili kuelezea uhalisia wa tukio zima na nini kinaendelea kwa faida ya vyombo vyote vya habari pamoja na msimamo mzima wa Business Times Limited.

Tafadhali tunaomba uvumilivu wenu wakati tunaendelea kufuatilia taratibu zote.

Asanteni na poleni,

Imma Mbuguni


http://wotepamoja.com/archives/9949#.UJOe5GQVd64.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments