[wanabidii] ENG. OMAR CHAMBO ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI

Tuesday, November 20, 2012
YAH: UTEUZI WA KUJAZA NAFASI YA UONGOZI KATIKA WIZARA YA UCHUKUZI

Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Eng. Omar A. Chambo kwa Mamlaka
aliyonayo chini ya Kifungu Na. 6 (1) (b) cha Sheria ya Utumishi wa
Umma Na. 8 ya mwaka 2002, amemteua Bibi Tumpe Samwel Mwaijande kuwa
Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira na Usalama wa Usafiri wa Majini.

Uteuzi huu unaanza tarehe 19/11/2012.

Imetolewa na;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
19/11/2012

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

Share this :

Related Posts

0 Comments