YAH: UKIUKWAJI WA HAKI ZA BINAADAMU
Unaombwa uhusike na mada ya hapo juu.
Sisi ni wana familiya wa mashekhe na baadhi ya watu wengine ambao kwa sasa wanatuhumiwa kwa makosa ya uchochezi kupitia Kesi, 9/2012 iliopo Mahkama Kuu na Kesi namba 380/2012 Mahakama ya Mwanakwerekwe.
Kwa vile suala lao kwa sasa lipo chini ya mahakama, wao bado ni watuhumiwa tu na wala sio wafungwa, kwa bahati mbaya kwa sasa wanachukuliwa kuwa zaidi ya wafungwa.
Watuhumiwa wote hao wanavunjiwa haki zao za msingi za kibinaadamu ambazo taifa lenyewe linadai kuziamini na kuzisimamia kama inavyoelezwa katika Katiba ya Zanzibar ya 1984 na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 na kama ambavyo Tanzania ilivyoridhia mikataba mbali mbali ya ulimwengu.
http://wotepamoja.com/archives/10515#.UKZO4C2pJ0U.gmail --
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 Comments