"Sambamba na hilo alisema kuwa sheria hiyo inalenga kuwapatia vitambulisho wakaazi wote waliopo Zanzibar wakiwemo wageni wote sio kutoka Bara peke yake lakini hata kutoka nje ya nchi kama vile Italy,Marekani,Ufaransa,Uingereza,Kenya,Uganda,Ghana, hivyo sheria ina nia nzuri na kuwaomba kwa wale wenye fikra potofu au kupotoshwa kuachana na fikra hizo wajue kuwa lengo ni kuwatambua wote."
Related Posts
- [wanabidii] How best would you describe Africa to someone who has not been here?
- [wanabidii] Top Headlines: Now, Modi govt too refuses to name foreign bank account holders
- [wanabidii] Apple unveils 18% thinner iPad Air 2, starts at Rs 35,900
- [wanabidii] Press Releases: Ambassador Scheinman Travels to New York for Meetings on NPT RevCon
- [wanabidii] News Digest: Banned: Man who built India's first 'smart' city
- [wanabidii] Press Releases: Under Secretary of State for Political Affairs Wendy R. Sherman To Travel to Chile and Peru
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments