[wanabidii] Chaguzi za CCM: Mabina apinga ushindi wa Diallo; Rushwa yavunja uchaguzi Pwani - Mwanzo

Friday, October 19, 2012
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Clement Mabina ameyakataa matokeo yaliyompa ushindi aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Anthony Diallo na kutangaza kukata rufaa Makao Makuu ya chama hicho tawala akipinga kupoteza wadhifa huo.

Mabina alitangaza nia ya kupinga matokeo hayo juzi saa moja usiku kwenye Uwanja wa CCM Kirumba baada ya Diallo kutangazwa na msimamizi wa uchaguzi huo, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, William Lukuvi kuwa mshindi kwa kura 611 kati ya kura 998 zilizopigwa.


http://wotepamoja.com/archives/9191#.UIDotEytTxk.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments