[wanabidii] BREAKING NEWS!!!: SHEIKH FARID AZUNGUMZA BAADA YA KUKAMATWA!!

Saturday, October 20, 2012
Asema askari waliomuhoji wengi ni kutoka Bara.
Ukombozi wa ZNZ sasa utazidi kupamba moto.
Awaomba Wabara wawaachie Waznz wawe huru kama kabla ya 1963
Kwa zaidi, msikilize mwenyewe ana kwa ana na mwana-habari Salma Said.


...bin Issa

Share this :

Related Posts

0 Comments