[wanabidii] GDSS YA TAREHE 29 AUGUST 2012; MADA: BAJETI YA AFYA YA MWAKA 2012/13: JE, INALENGA KUONDOACHANGAMOTO ZA HUDUMA YA AFYA NCHINI?

Friday, August 24, 2012

SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO

 UNAKARIBISHWA KATIKA MFULULIZO WA SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO (GDSS) KILA JUMATANO, AMBAPO WIKI HII   FESTA ANDREW  ATAWASILISHA

 

 

MADA:Bajeti ya Afya ya 2012/13: Je, Inalenga Kuondoa Changamoto za Huduma ya Afya Nchini?  Lini: Jumatano Tarehe 29/8//2012

Muda: Saa 09:00 Alasiri – 11:00 Jioni

MAHALI:  Viwanja vya TGNP, Barabara ya Mabibo Karibu na Chuo cha Taifa Cha Usafirishaji Mabibo Sokoni  

WOTE MNAKARIBISHWA

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments