BABA WA KAMBO- WIMBO ULIOMPA WAKATI MGUMU KAMANDA RAS MAKUNJA NA KIKOSI CHA NGOMA AFRICA BAND
Mara kadha alitafutwa kwa bakora ! Mdomo wake ndio chanzoHakuna kazi isiyokuwa na ugumu,watunzi na waimbaji wa muziki nao wanakumbana na ugumu katika kazi zao,mmoja wao katika ya wanamuziki
wanaopata misuko suko kazini ni mwanamuziki nguli Ebrahim Makunja alimaarufu Kamanda Ras Makunja mkuu wa kikosi cha Ngoma Africa band aka FFU wenye maskani kule Ujerumani.
Mwanamuziki mtanzania Kamanda Ras Makunja mtunzi,mshairi mwimbaji aliyepindia akili kazi yake,ametunga na kuimba nyimbo nyingi zenye utamu na uchungu,lakini katika nyimbo zote wimbo wa "Baba wa Kambo" ni wimbo uliompa wakati mgumu sana,mara tatu kutafutwa na bakora na wazee walioguswa na wimbo huo,akiwamo mtu mzima Malumba Kassongo alishawahi mara mbili kuvamia kambi ya bendi hiyo kwa bakora na kudai
kuwa kamanda Ras Makunja lazima atiwe adabu kwani mdomo wake
si mzuri,mzee huyo amedai mtunzi wa nyimbo hiyo "Baba wa Kambo" amekuwa akiyachunguza maisha ya mzee huyo. pamoja na makubaliano mbele ya wapatanishi kuwa nyimbo hiyo isiende hewani lakini bendi hiyo imekiuka makubaliano na kurusha hewani tena song hilo "Baba wa Kambo"
jiburudishe na song hilo chini.
https://soundcloud.com/issamichuzi/kamanda-ras-makunja-baba-wakambo1
https://soundcloud.com/issamichuzi/kamanda-ras-makunja-baba-wakambo1
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments