[wanabidii] TAZAMA MAHOJIANO YA FATEMA DEWJI NA DKT. TRISH SCANLAN KUHUSU SARATANI YA WATOTO

Tuesday, February 16, 2016
Habari za mchana,

Tafadhali pokea CODES hapa chini.


<p style="text-align: center;"><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/12657290_924834070946379_5524332952045134125_o.jpg" rel="attachment wp-att-4535"><img class="size-full wp-image-4535 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/12657290_924834070946379_5524332952045134125_o.jpg" alt="12657290_924834070946379_5524332952045134125_o" width="1400" height="947" /></a></p>

<h4 style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Muongozaji wa kipindi Educate, Empower and Inspired kinachorushwa na IBN-TV katika king'amuzi cha Dstv, Fatema Dewji-Jaffer.</strong></em></span></h4>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Februari, 15 huadhimishwa Dunia nzima kama Siku ya Saratani ya watoto. Kila mwaka watoto 250,000  na vijana chini ya miaka 20 hupatikana na saratani. 80% ya hao hutoka nchi zinazoendelea, wengi wao hawajatambuliwa wala kutibiwa. Katika nchi zinazoendelea watoto  wengi wanakufa. Saratani ya watoto inatibika!</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Ilikuwa ni heshima kubwa kwangu kupata fursa ya kumhoji Dr. Trish Scanlan ambaye anaendesha idara ya watoto katika hospitali ya Taifa ya ­Muhimbili. Tangu ajiunge mwaka 2008, pamoja na timu yake yenye ari kubwa ya madaktari na wauguzi wa Tanzania, viwango vya muda mfupi maisha ya watoto na kansa umeongezeka kutoka 12% hadi 60%.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kuwa sehemu ya mpango wa kutambua Saratani duniani. Pamoja tulete umakini katika suala hili na kuhakikisha kwamba watoto kila mahali wanapata huduma bora za saratani utotoni. #worldwidechildhoodcancerday.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Tazama mahojiano kati yangu na Dr. Trish Scanlan hapa chini;</strong></span></p>
<iframe src="https://www.youtube.com/embed/ZumempTizcQ" width="560" height="315" frameborder="0" allowfullscreen="allowfullscreen"></iframe>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments