[wanabidii] LUNDENGA ASIKITISHWA NA MANENO YA MTANDAONI KUHUSU HOYCE TEMU (AUDIO)

Monday, February 15, 2016
Habari za asubuhi,

Tafadhali pokea CODES hapa chini


<p style="text-align: center;"><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/Lundenga-akikana-jambo.jpg" rel="attachment wp-att-4406"><img class="size-full wp-image-4406 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/Lundenga-akikana-jambo.jpg" alt="Hashim Lundenga" width="704" height="376" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga (pichani) amezungumza na <a href="http://modewjiblog.com/" target="_blank">Modewjiblog </a>kuhusu habari zilizosambaa katika mitandao ya kijamii kumhusu Miss Tanzania 1999, <a href="https://web.facebook.com/miminatanzania/?fref=ts" target="_blank">Hoyce Temu</a>.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Lundenga amesema kuwa yeye kama Mwenyekiti wa kamati ya Miss Tanzania na Mtanzania wa kawaida amesikitishwa na maneno hayo na kuwa hayapendezi kusemwa kwa mtu kama Hoyce ambaye amejitoa kusaidia jamii.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema kuwa anashangazwa na mtu ambaye amekuwa akiandika maneno hayo mtandaoni kwani hawakuwa na utofauti wowote na kilichokifanya ni kumuandika Hoyce ambaye hakuhusika katika ugomvi  uliokuwepo baina ya mtu huyo na mdogo wake Hoyce, Rachel.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"Nimesikia habari hizo kumhusu Hoyce kwa kweli nimesikitishwa sana, sio jambo zuri ambalo amelifanya huyo aliyemuandika," alisema Lundenga.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Hata hivyo mwenyekiti huyo aliwataka watumiaji wa mtandao kuwa na matumizi mazuri ya mtandao ili kuzidi kuifanya mitandao ya kijamii kuwa sehemu salama kwa ndugu na marafiki kuwasiliana.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Zaidi unaweza kusikiliza maneno ya Lundenga hapa chini.</strong></span></p>
<iframe src="http://www.audiomack.com/embed4-large/mo-dewji-blog/hashim-lundenga-akizungumzia-maneno-yameyoandikwa-kuhusu-hoyce-temu" width="100%" height="250" frameborder="0" scrolling="no"></iframe>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments