[Mabadiliko] Habari Kubwa 3 Za Leo Kwa Mujibu Wa Mtandao Wa Mjengwablog.com

Saturday, January 09, 2016


1. Chadema na CCM kwe vita ya Umeya Dar...

Hii ni habari namba moja kwa mujibu wa mtandao wa mjengwablog.com.
Umeya katika Dar na hususan Ilala na Kinondoni ni nafasi muhimu sana kisiasa. Unaposema Dar zaidi unazungumzia Ilala, na kisha inafuatia Kinondoni. Vita ya kuipigania Dar kwa maana ya Umeya itaendelea kuvutia wengi. Mahakama Kuu imeshatoa hukumu. Vita sasa itaendelea kupiganwa kwenye Mabaraza ya Madiwani katika wilaya hizo. Ni habari ya kuvutia na muhimu unapotafsiri siasa kubwa za nchi hii.


2. Afukuzwa kwa kuhalalisha hekalu la Rwakatare
Mwanasheria wa NEMC amefukuzwa kazi kwa kuhalalisha hekalu la Mch. Rwakatare lisibomolewe. Ni habari inayopewa nafasi ya pili na mtandao wamjengwablog.com


3. Chadema watathmini mpango kazi wa Mabadiliko ya Kweli

Imeripotiwa leo, kuwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, kimepiga kambi ya siku saba Moshi kutathmini mpango kazi utakaoleta mabadiliko ya kweli. Chadema inasema haya ya CCM ni ' cosmetic' kwa maana ya mabadiliko ya kupaka poda. Habari ya Chadema kukutana Moshi iliporipotiwa kwa mara ya kwanza, kuna waliodhani pia Chama hicho kinakutana kujipanga upya na hata kufanya mabadiliko ya ndani ya chama. 
Soma habari nyingine za ndani ikiwamo katuni bora ya leo. Ni kwenyehttp://mjengwablog.com

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at https://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAMD-ye5eWzaGDLorPF2kN%3Du%3Dim2Kj%3DWbYTFXLpoaAK4jpRf0Ew%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments