[Mabadiliko] Kamati Za Bunge Nazo Zilishindwaje Kubaini Madudu Haya?

Monday, December 07, 2015


Ndugu zangu,

Ninapozidi kusikia uoza wa bandari na reli, na huko kwengine najiuliza; 
Hivi zile Kamati Za Bunge nazo zilikuwa zianafanya ' Ziara Hewa' kukagua utendaji wa mamlaka hizo. Kwamba zilishindwaje kubaini madudu haya yanayobainishwa sasa? Nini hasa kazi za Kamati za Bunge?
Maggid, 
Iringa.


--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAMD-ye6qhJeS-FepQAvw3PjNjErmVLpzPO0gCysmttCjOS4kYw%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments