Urais wa Dr Magufuli, ni funzo tosha kwa watu wengine
Miezi kama minne iliyopita ni watu wachache sana waliokuwa wakiamini kwamba Dr Magufuli atakuja kuwa Rais wa nchi yetu, Hii ilitokana na mfumo uliokuwepo huko nyuma wa kuchagua mgombea ku-base zaidi kwenye makundi ndani ya Chama na umaarufu wa mgombea.
Kilichomwibua Dr Magufuli ni record yake ya uchapakazi, uadilifu, kutoyumbishwa hovyo hovyo kwa sababu ya kusimamia kile anachokiamini kwa manufaa ya wananchi na taifa kwa ujumla, Hiyo imejidhihirisha zaidi katika wizara zote alizowahi kuziongoza mfano Ujenzi na Miundombinu pamoja na Kilimo na ufugaji.
Fundisho tunalopata hapa ni kwamba usingoje mpaka upewe nafasi kubwa ya utumishi ndio uanze kuonyesha namna ya kuwatumikia wananchi. Piga kazi tu hata kama huna cheo chochote, usingoje mpaka uwe Waziri, Mbunge, M /"kiti serikali ya mtaa, nk*
WASIPOKUONA BINADAMU MUNGU ATAKUONA NA KUKUINUA TUSend Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments