Ndugu zangu,
Kwa takwimu alizotoa Mh. Rais Magufuli, kuwa shilingi bilioni 183 zimetumika kununulia tiketi za kusafiri nje, ina tafsiri ifuatayo kwa mujibu wa jarida la ' Africa Report' toleo nr 74 la mwezi Oktoba na ambalo nimelisoma. Lina taarifa, kwenye ukurasa wa 56, kuwa Serikali ya Rais Kabila imenunua kutoka shirika la ndege lililofilisika la Alitalia, nchini Italia, moja ya ndege zake aina ya Airbus A320 kwa gharama ya dola za Marekani milioni 50. Fedha ambazo wateule wetu wametumia kwa tiketi za safari za nje ni bilioni 183, sawa na dola za Marekani takribani milioni 84..!
Naam, nimepata kuandika, kuwa Tanzania ina vyote kasoro Watanzania..!
Maggid
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAMD-ye5Q6ss4Hb%2BV1bYjGJzEvcUJqsrZjZdCAqg26zoQWpge8g%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments