Ninaendelea kumsikiliza Mheshimiwa James Mbatia akiongea na waandishi wa habari. Yako mambo ya ajabu ambayo nimemsikia akiyaongea.
1) Midahalo:
Mmbatia anasema midahalo inabidi ifanwe baina ya viongozi wa vyama vya siasa na si wagombea. Mtu ukijiuliza haya: Vyama vimeandaa ilani za Uchaguzi. baadaye Ilani hizo zikakabidhiwa kwa wagombea ili wainadi. Lakini tunajua wote kuwa kama ni kuiga hata midahalo hii tukiifanya tutakuwa tunaiga. Tunaweza kuanzia Kenya katika uchaguzi waliomaliza karibuni. Tunaweza kuangalia marekani wakati huu Iweje badala ya kuwakutanisha wagombea badala yake tuwakutanishe wengine? mwaka 2005 nakumbuka CCM kumzuia Mgombea wake JK asishiriki midahalo. Tulijua kuwa alikuwa mdhaifu wa hoja na hii ni kweli. kweli kabisa. lakini bado CCM haikutaka kuleta watu wasiohusika na utekelezaji wa ilani. Sasa mbatia anaweza kutweleza mgombea wa UKAWA ana shida gani? kama ana shida kwanini walimuweka?
2) Hoja ua UDINI:
Mgombea lowasa anasemekana kuingia Kanisani na kusema maneno mawili a) naomba mniombee 2) Mnichague mimi ili zamu hii tuwe na Rais Mlutheri
Mbatia katika kurusha shutuma anaishutumu CCM kwa kutumia a) hapo juu tu na kuiacha pembeni hoja hasa ya ULUTHERI. najiuliza anafikiri watanzania hawakumbuki kilichosemwa au? Hajui kuwa bila kujibu hoja anakuwa amebakiza maswali ambayo wapiga kura ndiyo watakayotumia kule chumbani?
3) Ukanda/ukabila:
Ni kweli watu wanaongelea CHADEMA kuwa chama kinachokumbatia ukanda. Wanaosema hivyo wanazingatia kinachoonekana yyni nguvu kubwa wanayoikusanya kwa kuwaweka pamoja watu wa kaskazini yaani mbatia, mbowe, Sumaye lowasa ongeza. Hata humu mtandaoni utakuta wanaounga mkono kila kinachopendelea UKAWA utanusa ukanda. badala ya kujibu hoja ili kujisaisha anawashambulia wanaosema bila kusema wanasema nini.
4) Kuhatarisha amani:
Mbatia kwa maelezo yake unaweza kusema labda matokeo ya uchaguzi yameishatangazwa na CCM inakataa kukabidhi madaraka. Anaonyesha jinsi watanzania walivyokwishaamua kufanya mabadiliko kupitia UKAWA. Haonyeshi kuamini kuwa jambo tofauti linaweza kutokea. Naamini mkutano huu aliokuwa nao haukuwa mkutano wa kampein. maana yake alistahili kuwa lialistic. Mimi nikaanza kuwa na wasiwasi kuwa ikitokea matokeo yakawa kinyume mbatia anaweza kuwa mmoja wa watakaoongoza ghasia.
Wakati fulani humu niliwahi kumtaja Mbatia kama mmoja wa viongozi wanaoweza kuliongoza taifa hili. Kuna wakati niliwahi kumsikia akisema '----- vyama hivi vinavyojiita vilipigania uhuru' Neno hli lilinishtua nikasema huenda lilimponyoka (tongue slip). Mkutano wa leo na waandishi wa habari umenifanya nijiulize kama nilikuwa namfahamu au sasandio naanza kumfahamu.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email
kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone
posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any
legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to
abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to
the
Google Groups
"Wanabidii" group.
To
unsubscribe from this group and stop receiving
emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.
---
You
received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this
group and stop receiving emails
from it,
send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii"
group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence
statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer
and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send
an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments