[wanabidii] Huduma ya Dhamana za mikopo kwa wakopaji wanaohitaji mikopo Benki.

Wednesday, September 09, 2015
Lala Fresh ni kampuni inayotoa huduma ya dhamana za mikopo kwa wakopaji. Tunapokea wateja wenye  wenye HATI (Title deed au leseni ya makazi) ambao wanataka kuzitumia kudhamini mikopo. Pia tunakaribisha wateja wanaohitaji mikopo kutoka taasisi za fedha lakini wameshindwa kupata mikopo kwa sababu hawana dhamana au dhamana zao hazikubaliki.
Tunatoa dhamana za  HATI za nyumba kwa wafanyabiashara waaminifu na wenye bishara za kuonekana ambayo mwenye nyumba (mdhamini) anachukua 10% ya mkopo baada ya kupata mkopo na wakala(wakala Lala Fresh) anapata 3%. Pia tunaanda mchanganuo wa mahesabu kwa wateja wetu kwa bei nafuu. DHAMANA inayotolewa ni kuanzia milioni 20 hadi bilioni 1. Huduma hii itatolewa kwa wale wenye ofa kutoka kwenye Benki au wako mbioni kupata ofa kutoka kwenye benki. Ofisi zetu zipo Kariakoo. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba  0783396401

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments