Magufuli ni kiongozi wa ajabu. Ameanza kuliongoza taifa kiaina. Magufuli ameishachukua form ya kuomba kugombea urais kwa tiketi ya CCM kutoka kwa tume ya taifa ya uchaguzi NEC. Nilijua kuwa atachukua form kutoka NEC baada ya kuichukua na nishtukia naona picha za misafara ya waliomsindikiza. Sijui walijuaje? Kama angetangaza kuwa siku fulani na saa fulani atachukua form sijui watu wangekuwa kiasi gani?
Yeye ameishakamilisha kazi ya kuwapata wapiga kura wa kumdhamini. Majuzi nilishtukia yuko Bukoba mjini amekuja kutafuta wapiga kura wa kumdhamini. Watu wachache walijua na wengine nilisikia wakilalamika kuwa kwa nini haikutangazwa ili wakafurike. Naona anatumia mtindo wa CHEMA CHAJIUZA KIBAYA CHAJITANGAZA. Nao (mtindo wake) una maana kubwa kwa nchi yetu, maana kelele zimetufikisha pabaya. Nakumbuka wakati wa Mkapa ilikuwa kama hivi hivi. gazeti la Uhuru siku ile amechukua form habari ilitoka kushoto chini ya ukurasa wa mbele ikiwa na kichwa cha habari '------ Na Mkapa achukua form' Ilikuwa habari ya mengineyo. Niliyaona 1995. Nayaona na 2015.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments