[wanabidii] THE STARS BAND YAZINDULIWA RASMI SIKU YA EID MOSI NDANI YA MZALENDO PUB HUKU IKISINDIKIZWA NA BENDI YA FM ACADEMIA PAMOJA NA BARNABA

Monday, July 20, 2015
HABARI ZA ASUBUH MSAADA JAMANI


<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: center;">Bendi mpya ya muziki wa dansi ijulikanayo kama The Stars Band iliyo chini ya Aneth Kushaba imezinduliwa rasmi siku Jumamosi ya Julai 18, siku ya Idd-Mosi ndani ya kiota cha Mzalendo Pub, Kijitonyama jijini Dar es Salaam huku ikisindikizwa na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Barnabas pamoja na bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma'. &nbsp;</span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" height="394" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgOftl3ddCl_aOTNCguT0cqAOMMmmvfWEF7qBh1AciLq4jXvOXbCSAFmP2M_1QpkhO4kE51PCqUq9-r9uktGCT5qs4OwcsepM0aAz-gngiVQLrcJG2CGdwCq0sKkustcprXVzz1Cnn-uRdy/s640/DSC_0033.jpg" style="text-align: center;" width="640" /></span><br />
<span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: center;">Mkurugenzi wa The Stars Band, Aneth Kushaba akijitambulisha kwa mashabiki wakenm &nbsp;pamoja na azungumza na wapenzi wa bendi mpya ya&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: center;">The Stars Band wakati wa uzinduzi yeye binafsi alisema hawezi kusema yaliyopita bali wapenzi wa bendi hiyo wategemee makubwa kutoka kwenye bendi hiyo iliyozinduliwa siku ya Idd Mosi&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: center;">ndani ya kiota cha Mzalendo Pub</span><br />
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: center;">Mwimbaji wa Bendi ya The Stars, Felly Kano akionesha mambo yake kwenye stage hii yote ni wakati anajitambulisha kwa mashabiki wa bendi waliofika kwenye uzinduzi wa bandi hiyo</span><br />
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="text-align: center;">Mwimbaji wa Bendi ya The Stars,&nbsp;</span>Seghito mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangozi akijitambulisha kwa kuonesha uwezo wake kwenye stage wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo uliofanyika katika kiota cha Mzalendo Pub jijini Dar</span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mpiga Drums na pia ndiye meneja wa Bendi, Kibosho akijitambulisha kwa kuone uwezo wake katika Drums</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">&nbsp;Mpiga la Gitaa katika&nbsp;<span style="text-align: center;">Bendi ya The Stars,</span>&nbsp;<span style="text-align: center;">Othuman Majuto akionesha ujuzi wake kwenye stage wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">&nbsp;<span style="text-align: center;">&nbsp;</span>&nbsp;Mpiga la Gitaa la Base katika&nbsp;<span style="text-align: center;">Bendi ya The Stars,&nbsp;</span><span style="text-align: center;">Zaid Sato (Base) akionesha mambo yake kwenye stage</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">&nbsp; Mpiga la<span style="text-align: center;">&nbsp;Keyboard</span>&nbsp;katika&nbsp;<span style="text-align: center;">Bendi ya The Stars,</span><span style="text-align: center;">&nbsp;</span><span style="text-align: center;">&nbsp;</span><span style="text-align: center;">Sebastian akionesha maujaja yake</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">&nbsp; Mpiga la<span style="text-align: center;">&nbsp;Keyboard</span>&nbsp;katika&nbsp;<span style="text-align: center;">Bendi ya The Stars,&nbsp;</span><span style="text-align: center;">Denis akifanya ya kwake</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">&nbsp;<span style="text-align: center;">Mwimbaji wa Bendi ya The Stars,</span><span style="text-align: center;">&nbsp;</span>&nbsp;<span style="text-align: center;">Alawy Junior akijitambulisha rasmi wakati wa Uzinduzi wa Bendi hiyo Mpya iliyojaa vipaji vya ukweli</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="text-align: center;">Mwimbaji wa Bendi ya The Stars,&nbsp;</span>Prince ambaye aliwavutia walembo wengi kutokana na sauti yake wakati wa kujitambulisha wakati wa uzinduzi wa Bendi hiyo.</span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mwimbaji wa Bendi ya The Stars,&nbsp;Mao Santiago akijitambulisha kwa kuimba sebene moja matata ilikuwa ni hatari</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px; text-align: left;">Mwimbaji</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px; text-align: left;">&nbsp;wa Bongo Flava,&nbsp;</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px; text-align: left;">Barnaba</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px; text-align: left;">&nbsp;Elias aka&nbsp;</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px; text-align: left;">Barnaba akiimba moja ya nyimbo zake huku akisindikizwa na&nbsp;</span>waimbaji wa Bendi ya The Stars kutshoto ni&nbsp;Seghito na kulia ni Prince</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif; margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiIob68AeVMfH_3oibyGw-0hnZieULoN29ZTExVZVmb24c39mte36weY-NJybAT5l5gd3HRXCsiVuM_It7tt_QfpbBnWdHL4Ii7xHtIHra4nXCRBP4S1gavJK9jE9Fp4KRB5KnfwrNxHxv8/s640/DSC_0418.JPG" width="424" /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">Mwimbaji</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">&nbsp;wa Bongo Flava,&nbsp;</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">Barnaba</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">&nbsp;Elias aka&nbsp;</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">Barnaba akiendelea kutoa burudani ndani ya kiota cha Mzalendo Pub wakati wa Uzinduzi wa Bendi mpya ya The Stars iliyozinduliwa siku ya Idd - Mosi</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px; text-align: start;">wimbaji</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px; text-align: start;">&nbsp;wa Bongo Flava,&nbsp;</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px; text-align: start;">Barnaba</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px; text-align: start;">&nbsp;Elias aka&nbsp;</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px; text-align: start;">Barnaba akiimba sambamba na&nbsp;</span>&nbsp;Mwimbaji wa Bendi ya The Stars,&nbsp;&nbsp;Alawy Junior wakati wa uzinduzi wa sendi mpya ya The Stars&nbsp;</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Waimbaji wa Bendi ya The Stars wakiimba kwa pamoja wakati wa Uzinduzi wa Bendi hiyo ndani ya Kiota cha Mzalendo Pub, KIjitonyama jijini Dar</span></span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mwimbaji wa Bendi ya The Stars,&nbsp;<span style="color: blue; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: start;">Seghito&nbsp; (wa pili kutoka kushoto) akiimba moja ya nyimbo zinazobaba katika dunia hii huku akisindikizwa na waimbaji wenzake amabo ni&nbsp;</span>Felly Kano(wa kwanza kushoto), Mkurugenzi wa Bendi, Aneth Kushaba( wa pili kutoka kulia) pamoja na&nbsp;Prince&nbsp;(wa kwanza kulia)</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px; text-align: left;">Waimbaji wa Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' ambao ni &nbsp;Jesus(wa kwanza kushoto) akifuatiwa na Patcho&nbsp;</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px; text-align: left;">Mwamba(wa pili kutoka kushoto),&nbsp;</span><span style="line-height: 18.2000007629395px;">&nbsp;Pablo Masai (katikati), Mulemule(wa pili kutoka kulia) pamoja na 33 wote wakiimba kwa pamoja wakati wa uzinduzi wa bendi mpya ya The Stars katika kiota cha Mzalendo Pub&nbsp;</span></span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">RAIS wa bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma',&nbsp;</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">Nyoshi El Sadat akiimba kwa hisia kali wakati wa uzinduzi wa bendi ya The Stars iliyofanyika kwenye kiota cha Mzalendo Pub siku ya Idd-Mosi</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Wakati wa uzinduzi wa Bendi ya The Stars ilikuwa ni funika mbayaaaaa maana&nbsp;<span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">&nbsp;Bendi ya FM Academia '</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">Wazee wa Ngwasuma ilifanya ya kwao</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">Waimbaji wa Bendi ya FM Academia '</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">Wazee wa Ngwasuma wakiongozwa na T</span>otoo Kalala(wa kwanza kusoto) pamoja na&nbsp;MP 3 (wa kwanza kuli) wakiendelea kutoa burudani huku wakisindikizwa na waimbaji pamoja na wanenguaji wa bendi hiyo</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Ni burudani kwenda mbele</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Wanenguaji wa bendi ya&nbsp;<span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">&nbsp;Bendi ya FM Academia '</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">Wazee wa Ngwasuma wakiendelea kutoa burudani wakati wa uzinduzi wa bendi mya ya The Stars</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px; text-align: start;">Waimbaji wa Bendi ya FM Academia '</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px; text-align: start;">Wazee wa Ngwasuma wakiongozwa&nbsp;</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">Rais wa bendi hiyo,&nbsp;</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">Nyoshi El Sadat wakiendelea kutoa burudani wa wapenzi wa bendi ya</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">&nbsp;FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma pamoja naThe Stars Bandi</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">Mwimbaji wa Bendi ya FM Academia '</span><span style="background-color: white; line-height: 18.2000007629395px;">Wazee wa Ngwasuma wakiongozwa, T</span>otoo Kalala(wa kwanza kusoto) akiendelea kuimba huku akisindikizwa na wanenguaji wa bendi hiyo</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Burudani ikiendelea&nbsp;</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Waimbaji wa Bendi ya The Stars wakendelea kutoa burudani wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo uliofanyika siku ya Idd Mosi katika kiota cha Mzalendo pub</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Wakiendelea kucheza kwa furaha wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Mwimbaji wa Bendi ya The Stars, Felly Kano(wa pili kutoka kulia) akiimba kwa hisia kali huku akisindikizwa na na waimbaji wenzake ambao ni&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Mao Santiago(wa kwanza kushoto),&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Seghito (wa pili kutoka kushoto) pamoja na&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Mkurugenzi wa Bendi ya The Stars, Aneth Kushaba</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Mkurugenzi wa Bendi ya The Stars, Aneth Kushaba(kushoto) akiimba na&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Mwimbaji wa Bendi ya The Stars, Felly Kano ambao kwa pamoja wameamua kuitumia fursa walioipata kupitia vipaji vyao vya kuimba.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: center;">Waimbaji wa Bendi ya The Stars wakiendelea kutoa burudani mbele ya mashabiki wao (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo uliofanyika siku ya Idd Mosi atika kiota cha Mzalendo Pub jijini Dar</span><br />
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: center;">Mkurugenzi wa Bendi ya The Stars, Aneth Kushaba(kushoto) akiimba na&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: center;">Mwimbaji mwenzake wa Bendi ya The Stars,&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Seghito wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo</span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: center;">Mwimbaji wa Bendi ya The Stars,&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: center;">Mao Santiago( wa pili kutoka kushoto) akiendelea kuimba sebene za nguu uku akisindikizwa na waimbaji wenzake ambao ni&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Seghito(wa kwanza kushoto),&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: center;">Felly Kano (wa pili kutoka kulia) pamoja na&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: center;">Alawy Junior(wa kwanza kulia)</span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Ndani ya Bendi mpya ya The Stars ni full burudani na sio chenga</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">The Stars Band wakiendelea kutoa burudani</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Mwimbaji wa Bendi ya The Stars,</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Alawy Junior(kushoto) akiimba sambamba na&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Mkurugenzi wa Bendi ya The Stars, Aneth Kushaba(kushoto) wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo uliofanyika siku ya Idd-Mosi katika kiota cha Mzalendo Pub, Kijitonyama jijini Dar</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Ndani ya bendi</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: center;">&nbsp;ya The Stars ni full raha hapa waimbaji wa bendi hiyo wakionesha moja ya style yao kwa mashabiki waliofika kwenye uzinduzi huo</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mashabiki wa Bendi ya&nbsp;</span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">The Stars wakiendelea kuserebuka na ngoma za bendi hiyo wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Waimbaji wa Bendi ya The Stars wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Wazee wa kusababisha hara za mziku zinakua poa kutoka katika bendi ya The Stars wakiwa kwenye picha ya pamoja</span></div>


KAWAIDA


Bendi mpya ya muziki wa dansi ijulikanayo kama The Stars Band iliyo chini ya Aneth Kushaba imezinduliwa rasmi siku Jumamosi ya Julai 18, siku ya Idd-Mosi ndani ya kiota cha Mzalendo Pub, Kijitonyama jijini Dar es Salaam huku ikisindikizwa na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Barnabas pamoja na bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma'.  

Mkurugenzi wa The Stars Band, Aneth Kushaba akijitambulisha kwa mashabiki wakenm  pamoja na azungumza na wapenzi wa bendi mpya ya The Stars Band wakati wa uzinduzi yeye binafsi alisema hawezi kusema yaliyopita bali wapenzi wa bendi hiyo wategemee makubwa kutoka kwenye bendi hiyo iliyozinduliwa siku ya Idd Mosi ndani ya kiota cha Mzalendo Pub

Mwimbaji wa Bendi ya The Stars, Felly Kano akionesha mambo yake kwenye stage hii yote ni wakati anajitambulisha kwa mashabiki wa bendi waliofika kwenye uzinduzi wa bandi hiyo

Mwimbaji wa Bendi ya The Stars, Seghito mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangozi akijitambulisha kwa kuonesha uwezo wake kwenye stage wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo uliofanyika katika kiota cha Mzalendo Pub jijini Dar

Mpiga Drums na pia ndiye meneja wa Bendi, Kibosho akijitambulisha kwa kuone uwezo wake katika Drums

 Mpiga la Gitaa katika Bendi ya The Stars, Othuman Majuto akionesha ujuzi wake kwenye stage wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo

   Mpiga la Gitaa la Base katika Bendi ya The Stars, Zaid Sato (Base) akionesha mambo yake kwenye stage

  Mpiga la Keyboard katika Bendi ya The Stars,  Sebastian akionesha maujaja yake

  Mpiga la Keyboard katika Bendi ya The Stars, Denis akifanya ya kwake

 Mwimbaji wa Bendi ya The Stars,  Alawy Junior akijitambulisha rasmi wakati wa Uzinduzi wa Bendi hiyo Mpya iliyojaa vipaji vya ukweli

Mwimbaji wa Bendi ya The Stars, Prince ambaye aliwavutia walembo wengi kutokana na sauti yake wakati wa kujitambulisha wakati wa uzinduzi wa Bendi hiyo.

Mwimbaji wa Bendi ya The Stars, Mao Santiago akijitambulisha kwa kuimba sebene moja matata ilikuwa ni hatari

Mwimbaji wa Bongo Flava, Barnaba Elias aka Barnaba akiimba moja ya nyimbo zake huku akisindikizwa na waimbaji wa Bendi ya The Stars kutshoto ni Seghito na kulia ni Prince


Mwimbaji wa Bongo Flava, Barnaba Elias aka Barnaba akiendelea kutoa burudani ndani ya kiota cha Mzalendo Pub wakati wa Uzinduzi wa Bendi mpya ya The Stars iliyozinduliwa siku ya Idd - Mosi

wimbaji wa Bongo Flava, Barnaba Elias aka Barnaba akiimba sambamba na  Mwimbaji wa Bendi ya The Stars,  Alawy Junior wakati wa uzinduzi wa sendi mpya ya The Stars 

Waimbaji wa Bendi ya The Stars wakiimba kwa pamoja wakati wa Uzinduzi wa Bendi hiyo ndani ya Kiota cha Mzalendo Pub, KIjitonyama jijini Dar

Mwimbaji wa Bendi ya The Stars, Seghito  (wa pili kutoka kushoto) akiimba moja ya nyimbo zinazobaba katika dunia hii huku akisindikizwa na waimbaji wenzake amabo ni Felly Kano(wa kwanza kushoto), Mkurugenzi wa Bendi, Aneth Kushaba( wa pili kutoka kulia) pamoja na Prince (wa kwanza kulia)

Waimbaji wa Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' ambao ni  Jesus(wa kwanza kushoto) akifuatiwa na Patcho Mwamba(wa pili kutoka kushoto),  Pablo Masai (katikati), Mulemule(wa pili kutoka kulia) pamoja na 33 wote wakiimba kwa pamoja wakati wa uzinduzi wa bendi mpya ya The Stars katika kiota cha Mzalendo Pub 

RAIS wa bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma', Nyoshi El Sadat akiimba kwa hisia kali wakati wa uzinduzi wa bendi ya The Stars iliyofanyika kwenye kiota cha Mzalendo Pub siku ya Idd-Mosi

Wakati wa uzinduzi wa Bendi ya The Stars ilikuwa ni funika mbayaaaaa maana  Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma ilifanya ya kwao

Waimbaji wa Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma wakiongozwa na Totoo Kalala(wa kwanza kusoto) pamoja na MP 3 (wa kwanza kuli) wakiendelea kutoa burudani huku wakisindikizwa na waimbaji pamoja na wanenguaji wa bendi hiyo

Ni burudani kwenda mbele

Wanenguaji wa bendi ya  Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma wakiendelea kutoa burudani wakati wa uzinduzi wa bendi mya ya The Stars

Waimbaji wa Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma wakiongozwa Rais wa bendi hiyo, Nyoshi El Sadat wakiendelea kutoa burudani wa wapenzi wa bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma pamoja naThe Stars Bandi

Mwimbaji wa Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma wakiongozwa, Totoo Kalala(wa kwanza kusoto) akiendelea kuimba huku akisindikizwa na wanenguaji wa bendi hiyo

Burudani ikiendelea 

Waimbaji wa Bendi ya The Stars wakendelea kutoa burudani wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo uliofanyika siku ya Idd Mosi katika kiota cha Mzalendo pub

Wakiendelea kucheza kwa furaha wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo

Mwimbaji wa Bendi ya The Stars, Felly Kano(wa pili kutoka kulia) akiimba kwa hisia kali huku akisindikizwa na na waimbaji wenzake ambao ni Mao Santiago(wa kwanza kushoto), Seghito (wa pili kutoka kushoto) pamoja na Mkurugenzi wa Bendi ya The Stars, Aneth Kushaba

Mkurugenzi wa Bendi ya The Stars, Aneth Kushaba(kushoto) akiimba na Mwimbaji wa Bendi ya The Stars, Felly Kano ambao kwa pamoja wameamua kuitumia fursa walioipata kupitia vipaji vyao vya kuimba.

Waimbaji wa Bendi ya The Stars wakiendelea kutoa burudani mbele ya mashabiki wao (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo uliofanyika siku ya Idd Mosi atika kiota cha Mzalendo Pub jijini Dar

Mkurugenzi wa Bendi ya The Stars, Aneth Kushaba(kushoto) akiimba na Mwimbaji mwenzake wa Bendi ya The Stars, Seghito wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo

Mwimbaji wa Bendi ya The Stars, Mao Santiago( wa pili kutoka kushoto) akiendelea kuimba sebene za nguu uku akisindikizwa na waimbaji wenzake ambao ni Seghito(wa kwanza kushoto), Felly Kano (wa pili kutoka kulia) pamoja na Alawy Junior(wa kwanza kulia)

Ndani ya Bendi mpya ya The Stars ni full burudani na sio chenga

The Stars Band wakiendelea kutoa burudani

Mwimbaji wa Bendi ya The Stars,  Alawy Junior(kushoto) akiimba sambamba na Mkurugenzi wa Bendi ya The Stars, Aneth Kushaba(kushoto) wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo uliofanyika siku ya Idd-Mosi katika kiota cha Mzalendo Pub, Kijitonyama jijini Dar

Ndani ya bendi ya The Stars ni full raha hapa waimbaji wa bendi hiyo wakionesha moja ya style yao kwa mashabiki waliofika kwenye uzinduzi huo

Mashabiki wa Bendi ya The Stars wakiendelea kuserebuka na ngoma za bendi hiyo wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo

Waimbaji wa Bendi ya The Stars wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo

Wazee wa kusababisha hara za mziku zinakua poa kutoka katika bendi ya The Stars wakiwa kwenye picha ya pamoja




Geofrey Adroph 
BLOGGER
P.O.BOX 24793,

Mob: +255 755 274953 /+255 713 363965,
Email: pamojapure@gmail.com.
Blog:  http://pamojapure.blogspot.com/
DAR ES SALAAM, TANZANIA

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments