[wanabidii] SHAMBA LA MITIKI LINAUZWA

Thursday, June 18, 2015
Ndugu zangu kuna shamba lenye ekari 6.8 limepandwa miti aina ya mitiki. Miti hiyo ina umri wa miaka 13. Shamba lipo  Turiani mtibwa. Kwa mwenye kuhitaji na maelewano awasiliane na Mzee seif Mwinyishehe kwa simu namba 0786804115

Share this :

Related Posts

0 Comments