KADA AFICHUA SIRI MBIO ZA LOWASA
Hata hivyo katika kundi hilo la wajumbe waliokwenda kwa Lowasa , mjumbe mmojawapo amezungumza na waandishi wa habari na kwenda bayana kuwa hakuwa akijua kinachoendelea
"mimi nilikuwa pale makao makuu, nikawakuta watu pale wapo na magari wanasema twendeni nikapanda gari nikaenda, nilipofika kule nikashangaa kuona mambo yanayoendelea. Hata zile shilling laki sita (600,000) zilizotolewa na Mukasa wala hatukuchangishana, alizitoa mwenyewe mfukoni mwake" Jacqueline Ngonyani mjumbe kutoka Ruvuma.
Chanzo Raia Tanzania
Toleo no. 0338
0 Comments