[wanabidii] Wananchi wa Moshi Mjini wamshawishi Kijana Daud Mrindoko Kugombea Ubunge 2015

Tuesday, April 14, 2015

                    "Mjini Moshi kunafuka moshi lazima chini kuna moto 2015"

WANANCHI WANAMSHAWISHI KIJANA DAUD MRINDOKO KUGOMBEA UBUNGE


Mamia ya wakazi wa Moshi mjini wamefunguka na kumshinikiza kwa kumshawishi kijana moja ajulukanae kwa jina la Daudi Mwidadi Mrindoko achukue fomu za kugombe ubunge wa jimbo hilo la Moshi mjini,mamia na kinamama na kina baba,vijana na wazee wa mji wa Moshi wanamtaja kijana Daudi Mrindoko kuwa
ndio tochi na dira ya itakayo waonyesha njia ya mafanikio zaidi 2015 alisema
mama moja Merry Kimaro kutoka kundi la wafanyibiashara wadogo Moshi sokoni.
Kijana mwingine aliyejitambulisha kwa jina Elias Mushi mwendesha boda boda
alijigamba kwa kusema kuwa heti Daudi Mrindoko ndio Obama wa mjini Moshi
kijana ambaye ni daraja kati ya jamii vijana kwa wazee,wanawake kwa wanaume,
Tulitaka kumjua zaidi huyu Kijana Daudi Mrindoko na kumtafuta ili kupata kauli yake
lakini juhudi ziligonga ukuta tuliambiwa amesafiri.
Mzee moja aliyejitambulisha kwa jina Gasper Temu mfanyi biashara alisema wazee wa Moshi wangependa sana kupata mbunge kijana ambaye ni rahisi kumtuma,kumshauri na kumkosoa unajua sisi wafanyi biashara na wakulima hapa
Moshi tunahitaji mabadiriko ya kasi kubwa ili tupate kusonga mbele alisema mzee
Gasper Temu.
           "Mjini Moshi kunafuka moshi lazima chini kuna moto 2015"

WANANCHI WANAMSHAWISHI KIJANA DAUD MRINDOKO KUGOMBEA UBUNGE

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments