HERI YA MIAKA 51 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
-- KUTOKA NGOMA AFRICA BAND
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band
aka FFU-Ughaibuni yenye makao yake nchi ujerumani,inawatakia kila
heri na fanaka wadau wote katika kuadhimisha miaka 51 ya mapinduzi
ya Zanzibar,mapinduzi yaliyofanyika 12 Januari 1964 ambayo yaliwakomboa wanzibar walio wengi kutoka katika makucha ya Sultan,Mapinduzi yaliyomng'oa Sultan hadi kusahau kiremba kitandani.
Tunawapongeza wanzabar katika kuadhimisho ya miaka 51
ya mapinduzi,Amani,Upendo ,Umoja na mshikamano
ndio msingi wa maisha bora kwa wanadamu wote.
Yadumu mapinduzi ya Zanzibar ! Zidumu fikira za waasisi wa mapinduzi !
Mapinduzi haya ni yetu sote watanzania
Tufurahie mapinduzi day kwa muziki mtamu at www.ngoma-africa.com
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments