Shirika la Maji Safi na Majitaka Dar-es-salaam (DAWASCO), linawatangazia wakazi wa KIMARA na TABATA; Miji ya Kibaha na Mlandizi mkoani Pwani kuwa, Mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu Juu umepata hitilafu kuanza siku ya Jumatano ya tarehe 03.12.2014 baada ya kuharibika kwa pampu moja ya kusukuma Maji (Pre-lift pump).
Hali hii imelazimisha kupungua kwa uzalishaji Maji.
Mafundi wa DAWASCO wanaendelea na matengenezo na kuhakikisha Pampu hii inafanya kazi na Huduma ya Maji itarejea katika hali ya kawaida ifikapo siku ya Jumapili tarehe 07/12/2014
Wakazi wa maeneo yafuatayo wataathirika; MLANDIZI, KIBAHA, KIBAMBA, MBEZI, KIMARA, UBUNGO, MSEWE, KIBANGU, RIVERSIDE, BARABARA YA MANDELA, TABATA, NA SEGEREA.
PIGA SIMU KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA NAMBA 022- 2194800/ 0659-574012
DAWASCO INAWAOMBA RADHI KWA USUMBUFU AMBAO NI WA DHARULA.
IMETOLEWA NA OFISI YA UHUSIANO
DAWASCO-MAKAO MAKUU
"DAWASCO TUTAKUFIKIA"
Hali hii imelazimisha kupungua kwa uzalishaji Maji.
Mafundi wa DAWASCO wanaendelea na matengenezo na kuhakikisha Pampu hii inafanya kazi na Huduma ya Maji itarejea katika hali ya kawaida ifikapo siku ya Jumapili tarehe 07/12/2014
Wakazi wa maeneo yafuatayo wataathirika; MLANDIZI, KIBAHA, KIBAMBA, MBEZI, KIMARA, UBUNGO, MSEWE, KIBANGU, RIVERSIDE, BARABARA YA MANDELA, TABATA, NA SEGEREA.
PIGA SIMU KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA NAMBA 022- 2194800/ 0659-574012
DAWASCO INAWAOMBA RADHI KWA USUMBUFU AMBAO NI WA DHARULA.
IMETOLEWA NA OFISI YA UHUSIANO
DAWASCO-MAKAO MAKUU
"DAWASCO TUTAKUFIKIA"
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments