TATHMINI YA SHINDANO LA UREMBO LA MISS TANZANIA 2014
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kama msimamizi na mratibu wa sekta ya Sanaa nchini linanatarajia kufanya tathmini ya Shindano la Urembo la Miss Tanzania la mwaka 2014 tarehe 12/12/2014 saa 3 asubuhi katika ofisi zake Ilala Sharif Shamba.
Waandishi wa Habari na wadau wa Sanaa mnakaribishwa kutoa maoni yenu ili kuboresha shindano hili.
Ni imani ya Baraza kwamba, mahudhurio yenu katika tathmini hii yatasaidia kwa kiwango kikubwa kuboresha mashindano haya ya urembo na kuwezesha Tanzania kupeperusha bendera yake vizuri katika mashindano ya kimataifa.
Ni matumaini ya Baraza kwamba waandaaji wa shughuli za sanaa wataendelea kutambua umuhimu wa kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa.
Sanaa ni kazi, tuipende na kuithamini
Godfrey Mngereza
KAIMU KATIBU MTENDAJI
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments