[wanabidii] UZALENDO KWANZA: PIGA KURA UBORESHE MAISHA YA WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI

Friday, October 03, 2014
Habari za asubuhi tena,

Naomba tu-share na Watanzania wenzetu habari hii njema kupitia blog yako kwa ajili ya kupigia kura shirika la Under The Same Sun, kwa kuanza na wewe mwenyewe..Mimi nishafanya hivyo kwenye akaunti zangu nne za email


CODES


<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/Untitled.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-118415" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/Untitled.jpg" alt="Untitled" width="598" height="419" /></a>
<p style="text-align: center;"><em><span style="color: #000000;"><strong>Shirika linalojibidisha na kutetea na kulinda watu wenye ulemavu wa ngozi nchini Under the Same Sun, (UTSS) limeteuliwa kushindania  Tuzo ya Haki za Binadamu ijulikanayo kama "Tulip" itolewayo  nchini Uholanzi.  Iwapo UTSS watashinda tuzo hiyo, ni dhahiri kwamba kutakuwa na mapinduzi makubwa  katika uboreshaji wa maisha ya watu  wenye ulemavu wa ngozi.  Shiriki kwa kupiga kura ili UTSS washinde Tuzo hii na kulinda ndugu zetu wenye Ulemavu wa Ngozi Tanzania kwa kupiga kura hapa chini na kusambambaza tarifa hizi kwa taasisi na watu mbalimbali.</strong></span></em></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Kwa kupiga kura hiyo bofya <span style="color: #0000ff;"><a href="http://www.humanrightstulip.nl/candidates-and-voting/under-the-same-sun"><span style="color: #0000ff;">hapa</span></a></span></strong></em></span></p>
&nbsp;


KAWAIDA

Untitled

Shirika linalojibidisha na kutetea na kulinda watu wenye ulemavu wa ngozi nchini Under the Same Sun, (UTSS) limeteuliwa kushindania  Tuzo ya Haki za Binadamu ijulikanayo kama "Tulip" itolewayo  nchini Uholanzi.  Iwapo UTSS watashinda tuzo hiyo, ni dhahiri kwamba kutakuwa na mapinduzi makubwa  katika uboreshaji wa maisha ya watu  wenye ulemavu wa ngozi.  Shiriki kwa kupiga kura ili UTSS washinde Tuzo hii na kulinda ndugu zetu wenye Ulemavu wa Ngozi Tanzania kwa kupiga kura hapa chini na kusambambaza tarifa hizi kwa taasisi na watu mbalimbali.

Kwa kupiga kura hiyo bofya hapa

 


--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments