[wanabidii] KIPINDI CHA "MIMI NA TANZANIA" CHAWASHUKURU WATANZANIA KWA KUCHANGIA MATIBABU

Saturday, October 04, 2014
Habari za asubuhi,

Tafadhali pokea codes.

<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/10311052_1940774076061511_5395068416549286320_n.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-118502" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/10311052_1940774076061511_5395068416549286320_n.jpg" alt="10311052_1940774076061511_5395068416549286320_n" width="480" height="360" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Pichani ni Zuhura Matata mgonjwa mwenye uhitaji wa upasuaji  utakaofanyika nchini India.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kipindi cha "Mimi na Tanzania" kinachoongozwa na mrembo aliyewahi kushika taji Miss Tanzania mwaka 1999 Hoyce Temu, kinatoa shukrani kwa watanzania wote walioguswa na kufanikisha michango ya matibabu ya Zuhura Matata mwenye tatizo la kuvimba mguu ambao unahitaji Oparesheni nchini India.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kupitia Akaunti yake ya mtandao wa kijamii Facebook muongozaji wa kipindi hicho Hoyce Temu ameandikia ujumbe wa kuwashukuru watanzania. Soma hapa chini.</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/Untitled1.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-118503" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/Untitled1.jpg" alt="Untitled" width="504" height="457" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Zuhura Matata ambaye tulimuombea msaada wa kwenda India kupitia kipindi cha Mimi na Tanzania, amefanikiwa kupata pesa zote shilingi milioni 15 sawa na dola elfu kumi. Ataondoka tarehe 21 Oktoba kuelekea India na kuanza Matibabu! Usikose kutazama kipindi cha Mimi na Tanzania, Jumapili, Chanel Ten kuanzia saa tatu na nusu usiku. Mimi Hoyce Temu natangaza rasmi kufunga michango kuanzia sasa kwani pesa tulizoomba tumepata zote! Asanteni Tanzania!</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/10639696_1940773056061613_8215664022486093041_n.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-118504" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/10639696_1940773056061613_8215664022486093041_n.jpg" alt="10639696_1940773056061613_8215664022486093041_n" width="480" height="360" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Pichani ni Mtangazaji wa Kipindi cha "Mimi na Tanzania" Hoyce Temu alipomtembelea Zuhura Matata kwa ajili ya mahojiano.</strong></em></span></p>


KAWAIDA

10311052_1940774076061511_5395068416549286320_n

Pichani ni Zuhura Matata mgonjwa mwenye uhitaji wa upasuaji  utakaofanyika nchini India.

Kipindi cha "Mimi na Tanzania" kinachoongozwa na mrembo aliyewahi kushika taji Miss Tanzania mwaka 1999 Hoyce Temu, kinatoa shukrani kwa watanzania wote walioguswa na kufanikisha michango ya matibabu ya Zuhura Matata mwenye tatizo la kuvimba mguu ambao unahitaji Oparesheni nchini India.

Kupitia Akaunti yake ya mtandao wa kijamii Facebook muongozaji wa kipindi hicho Hoyce Temu ameandikia ujumbe wa kuwashukuru watanzania. Soma hapa chini.

Untitled

Zuhura Matata ambaye tulimuombea msaada wa kwenda India kupitia kipindi cha Mimi na Tanzania, amefanikiwa kupata pesa zote shilingi milioni 15 sawa na dola elfu kumi. Ataondoka tarehe 21 Oktoba kuelekea India na kuanza Matibabu! Usikose kutazama kipindi cha Mimi na Tanzania, Jumapili, Chanel Ten kuanzia saa tatu na nusu usiku. Mimi Hoyce Temu natangaza rasmi kufunga michango kuanzia sasa kwani pesa tulizoomba tumepata zote! Asanteni Tanzania!

10639696_1940773056061613_8215664022486093041_n

Pichani ni Mtangazaji wa Kipindi cha "Mimi na Tanzania" Hoyce Temu alipomtembelea Zuhura Matata kwa ajili ya mahojiano.


--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments