Habari za asubuhi,
Tafadhali pokea CODES, na nikutakie siku njema.
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN1621.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-116751" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN1621.jpg" alt="DSCN1621" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mfugaji wa Heifer International Tanzania Abel Mwakatumbula na mkewe wakiwa na Makamu wa Rais wa shirika hilo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Steve Denne alitembelea Tanzania kwa mara kwanza wiki iliyopita kuona miradi inayoendeshwa na shirika hilo.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Katika ziara hiyo, Steve Denne alitembelea ofisi za mkoa wa Mbeya akifuatana na Mkurugenzi wa Heifer International Tanzania Dk Henry Njakoi, Meneja Mradi wa EADD Tanzania Bwana Mark Tsoxo, ambapo walikutana na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro. Katika Mazungumzo yake na Mheshimiwa Abbas Kandoro, Bw Denne aliishukuru sana serekali ya Tanzania kwa mahusiano mazuri na ushirikiano mkubwa kwenye kutekeleza miradi ya shirika hilo nchini na hasa katika kuanzisha Mradi wa Uendelezaji Sekta ya Maziwa Afrika Mashariki (EADD). Aliahidi kuwa shirika hilo kupitia mradi wa EADD na miradi mingine tarajiwa, litaendelea kuleta mabadiliko kwa kuwasaidia wafugaji wadogo kwenye mikoa wa Mbeya, Iringa na Njombe ili kuinua uchumi wao na kuwa na ufugaji wenye tija na endelevu.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Pamoja na miradi aliyoitembelea Steve Denne, mradi wa Uendelezaji Sekta ya Maziwa Afrika Mashariki (EADD) unaoanza Mkoani Mbeya wilaya ya Rungwe kijiji cha Kyimo ambapo aligawa mtamba kwa mfugaji wa kikundi cha Faraja kama dira ya shirika hilo ya "Toa Zawadi Pia" – Pass On The Gift.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Akiwa nchini, Makamu wa Rais wa shirika la Heifer International alikutana na wadau mbalimbali wa sekta ya maziwa nchini wakiwemo wasindikaji, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Bwana Jordan Rugimbana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi Zanzibar ambapo alikutana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dr. Kassim Gharib Juma.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN1660.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-116752" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN1660.jpg" alt="DSCN1660" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Makamu wa Rais wa Heifer International Steve Denne, Mkurugenzi wa Heifer International Tanzania Dk. Henry Njakoi wakifurahia mafanikio ya miradi ya Heifer International.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN1799.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-116753" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN1799.jpg" alt="DSCN1799" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Makamu wa Rais wa Heifer International akigawa mtamba kwa mwana kikundi cha Faraja Wilayani Rungwe.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN1908.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-116754" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN1908.jpg" alt="DSCN1908" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Steve Denne akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Abbas Kandoro alipotembelea ofisi za Mkoa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN1909.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-116755" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN1909.jpg" alt="DSCN1909" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Makamu wa Rais wa Shirika la Heifer International Steve Denne, Meneja Mradi wa EADD Tanzania na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro katika picha ya pamoja.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN2098.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-116756" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN2098.jpg" alt="DSCN2098" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Bwana Jordan Rugimbana akiwakaribisha ofisini kwake, Makamu wa Rais wa Shirika la Heifer International Steve Denne na Mkurugenzi wa Shirika hilo Tanzania Dk. Henry Njakoi.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN2100.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-116757" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN2100.jpg" alt="DSCN2100" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Steve Denne alipomtembelea Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN2111.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-116758" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN2111.jpg" alt="DSCN2111" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Steve Denne katika mazungumzo na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN2320.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-116759" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSCN2320.jpg" alt="DSCN2320" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Zanzibar Dk. Kassim Gharib Juma (kushoto) akibadilishana mawazo na Makamu wa Rais wa Shirika la Heifer International Steve Denne na Dk. Henry Njakoi, Mkurugenzi wa Shirika hilo nchini.</strong></em></span></p>
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments