2.-(1) Eneo la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni:
(a) eneo lote la Tanzania Bara, ikiwa ni pamoja na eneo lake la bahari
ambalo kabla ya Muungano lilikuwa likiitwa Jamhuri ya Tanganyika
pamoja na maeneo mengine yatakayoongezeka; na
(b) eneo lote la Zanzibar, ikiwa ni pamoja na eneo lake la bahari ambalo
kabla ya Muungano lilikuwa likiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar
pamoja na maeneo mengine yatakayoongezeka.
(2) Rais wa Jamhuri ya Muungano atakuwa na mamlaka ya kuigawa
Jamhuri ya Muungano katika mikoa, wilaya na maeneo mengine na kwa upande
wa Zanzibar, Rais anaweza kukasimu mamlaka hayo kwa Rais wa Zanzibar.
-- (a) eneo lote la Tanzania Bara, ikiwa ni pamoja na eneo lake la bahari
ambalo kabla ya Muungano lilikuwa likiitwa Jamhuri ya Tanganyika
pamoja na maeneo mengine yatakayoongezeka; na
(b) eneo lote la Zanzibar, ikiwa ni pamoja na eneo lake la bahari ambalo
kabla ya Muungano lilikuwa likiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar
pamoja na maeneo mengine yatakayoongezeka.
(2) Rais wa Jamhuri ya Muungano atakuwa na mamlaka ya kuigawa
Jamhuri ya Muungano katika mikoa, wilaya na maeneo mengine na kwa upande
wa Zanzibar, Rais anaweza kukasimu mamlaka hayo kwa Rais wa Zanzibar.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments